Sunday, March 10, 2013

NITAKIFANYIA NINI CHAMA CHANGU

 



WAZO LA KATIBA MPYA 2014

Matumain yangu tutakuawa na amani na kitu kimoja pindi itakapofikia muda wa kuandika Katiba mpya, kwani naamini kwamba tukuweka uzalendo na kuacha saisa chafu basi tutapata katiba nzuri sana. Pia ikifika kipindi cha kuipigia kura katiba mi naomba tuweke vyama pembeni na tuangalie maslai ya Watanzania, hii itatusaidia sana kupata katiba imara na yenye nguvu ambayo itatufikisha miaka 50 ijayo. mungu ibariki Afrika na Mungu ibarika Tanzania. Amini

KWA HILI WANAWAKE MMEKOSEA

siku ya wanawake ni siku muhimu sana kwani dhumuni ni kwamba wanawake hukutana na kujadili changamoto zinazowakumba. mi nashangaa siku hii huwa ni siku ya kuchuma kwa baadhi ya wanawake kwani utakuta kikundi cha wanawake wanaandaa semina na kukutana kwenye hoteli na mbari na hapo wanaweka kiingilio cha shilingi 30000 na hata 100000. je swali la kijiuliza wale wanawake wa vijijini wanaweza kulipa kiasi hicho cha pesa? mimi naamini kuwa wale wanawake wa vijijini ndio haswa walengwa wa siku hii. tubadilike kwani tunawatenga wanawake wa vijijini kwa umasikini wao na shida zao.